Waovu wataona kile walichopoteza kwa sababu ya uasi wao. "yote haya" roho zilizopotea zitalia, "ningekuwa nayo. Ah nimepumbazwa ajabu! Nimebadisha amani, furaha, na heshima kwa kuchukua huzuni, aibu na kukata tamaa." Wote wataona kuwa kutengwa kwao na mbingu ni haki.
Kwa maisha yao walitamka, "Mtu huyu Yesu hatatutawala."

EmoticonEmoticon