MAANA YA CHAPA YA MNYAMA




Yohana aliitwa kutazama kundi la watu walio tofauti na wale wanaomwabudu mnyama au sanamu yake kwa kutunza siku ya kwanza ya juma. Utunzaji wa siku hii ndiyo chapa ya mnyama - TM 133 (1898).

Chapa ya mnyama ni sabato ya kipapa. - Ev 234 (1899).
Wakati wa kupimwa utakapofika, maana ya chapa ya mnyama itaoneshwa dhahiri. Ni utunzaji wa Jumapili. - 7BC 980 (1900).

Ishara, au mhuri, wa Mungu unafunuliwa ktk utunzaji wa Sabato ya siku ya saba, ukumbusho wa Bwana wa uumbaji
........ Chapa ya mnyama ni kinyume cha huu - ushikaji wa siku ya kwanza ya juma - 8T 117 (1904).

"Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, .... Watiwe chapa ktk mkono wa kuume, au ktk vipaji vya nyuso zao" (Ufunuo 13:16). Siyo tu kwamba watu hawatafanya kazi kwa mikono yao siku ya Jumapili, bali pia kwa akili zao hawana budi kukiri kuwa Jumapili ni Sabato. - Special Testimony to Battle Creek Church (Ph 86) 6, 7 (1897).
Image may contain: text

Previous
Next Post »
Powered by Blogger.