HISTORIA YA WIMBO WA SAA HERI YA MAOMBI Au SWEET HOUR OF PRAYES


No:278 ktk vitabu vikubwa vya nyimbo za kristo..

Mtunzi wa wimbo huu aliitwa
WILLIAM W WALFORD
 aliyezaliwa nchini UINGEREZA (England) mwaka 1772 na kufa mwaka 1856 

Walford alikuwa mhubiri mlei aliyekuwa kipofu
Ktk mahubiri yake aliweza kutunga shairi kuhusiana na maombi
1842 Akampelekea rafiki yake TOMMAS SARMON
na kumwomba amwandikie shairi kuhusu maombi

Baada ya miaka mitatu  Sarmon alienda nchini Marekani (U.S.A)
Akamwonyesha mhariri wa nyimbo
WILLIAM BRADBURY
Aliyezaliwa mwaka 1816 - 1868 Ambaye aliweza kuuchapa wimbo huu september 13,1845
Alikuwa ni mwandishi na mtunzi maarufu wa nyimbo za kristo

Wimbo huu ni wenye mguso kwa waliokata tamaa

Na unaonesha matumaini ktk maombi

Baadhi ya mabeti yanaonesha maombi ya dhati yenye mazungumzo kati yake na MUNGU

ktk wimbo huu wengi wamebarikiwa na hata sasa wengi wanazidi kubalikiwa

Image may contain: 1 person, beard
Previous
Next Post »
Powered by Blogger.